Harry Belafonte & Miriam Makeba Malaika Lyrics

Malaika, nakupenda Malaika.
Malaika, nakupenda Malaika.
Nami nifanyeje, kijana mwenzio,
Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa Malaika.
Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa Malaika.

Pesa zasumbua roho yangu
Pesa zasumbua roho yangu
Nami nifanyeje, kijana mwenzio,
Ningekuoa Malaika.
Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa Malaika.

Kidege, hukuwaza kidege.
Kidege, hukuwaza kidege.
Nami nifanyeje, kijana mwenzio,
Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa kidege.
Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa kidege.

Angel, I love you Angel.
What should I do, your lover?
I don't have any money
(LITERALLY: I'm defeated by wealth, I don't have any.)
I would marry you, Angel.

Money is troubling my soul
Little bird, I always dream of you, little bird,

See also:

68
68.92
Audiosalve Gasoline Lyrics
Goran Bregovic Ederlezi (finale) Lyrics