longombas Dondosa - Longombas Lyrics

Logombaz logombaz logombaz

Mbio ya mgambo ikilia ina jambo

Nami ninalia kwasababu nina jambo

Sista vipi mambo (Aah poa braza)

Mi na ku-mind kishenzi (Wacha mchezo)

Unavyo walk talk si unaelewa tena

Unavyolegeza macho unani kill kishenzi

Nami nimenusurika kuwa chizi

Kukubusu mimi sijui ni lini

Mimi sina hili wala lile

Wana kutaka wewe, la anchuu....

Una faa na mimi

Mimi mwenyewe ni chuma

Nataka uwe mchumba

(Aah, nyumba yenyewe huna)

[Chorus]

Nikicheki ukidondo-dondosa

Roho yangu inauma uma

Hiyo kazi ya kusonga songa (songa)

Mbona unanirogaroga (roga)

Nikicheki ukidondo-dondosa

Roho yangu inauma uma

Hiyo kazi ya kusonga songa (songa)

Mbona una ni roga roga (roga)

Umesogamana nayo

Hadi sitamani tu kucheki cheza ngoma,kwani ni noma

Hilo bu-du linanichoma hadi na tamane

La sista usitake mi ni lie

Nimevumilia hadi nikaamua kukwambia

I love you shothel mi nakupenda

(Lakini mi naogopa)

Usiogope kitu wala usiwe na hofu

Yule ni chovu, mbovu

(Eee najuta kistukia jee) hata doo

(Akisha nitaamua jee) hata doo

Akwende basi come ni ku touch

[Chorus]

Adondo waka mipusa pe

Mipe kipe mabuula ape

Akieteke jelwa kuduse

Akwenchi kwenchia na aloba aleba

Adondo waka mipusa pe

Mipe kipe mabuula ape

Akieteke jelwa kuduse

Akwenchi kwenchia na aloba aleba,alebe kisekete

Logombaz cheza kuwa kwani twaku twakutongoza

Logombaz pate umejazia

Na figure kilogomba yaba logomba

Njoo unatuchoma,ukidondosa inavyosonga

Hebu songesha, hebu songesha

Logombaz cheza kuwa kwani twaku twakutongoza

Logombaz pate umejazia

Na figure kilogomba yaba logomba

Njoo unatuchoma,ukidondosa inavyosonga

Hebu songesha, hebu songesha

[Chorus]

See also:

123
123.19
Elvis Presley I've Got A Thing About You Baby (Take 14) Lyrics
Bendera Merah Putih Lyrics