E-Sir & Nameless Bomba Lyrics

b__ba Train feat. Nameless

Tumekuja kupata Dj hebu weka tracky

Tukule heppy halafu tufungue sakafu,

Sababu ina bamba inashika

fungu la tisa inatufikisha

ukiachilia mahewa maze Dj weka together

Chorus

Ah Uuuiih bu bu mba bu bu bu bu mba

(aiyaah) bu bu mba bu bu bu bu mba (aiyaah)

bu bu mba

b__ba b__ba aah

Karibu bila kubamba vipi dada shaky your nanda

ninakutouch touch siri raa ras

Kwenye dance floor shoa shoa

Unanoki hauchoki kwenye dance floor hautoki

Its Nameless and E-sir in conjunction with Ogopa

tumekuja kuhakikisha kwamba spika zinasikika

Hey you Mister are you a member

Hey you sister wacha kulenga

cant you see that I'm taking to you

sasa weka mikono juu

Ah (uuwiih) bu bu mba

bu bu bu bu mba (aiyaah)

bu bu mba bu bu

ukikatika na hii ng'oma

just be cool like a cucamber x 2

Ah (uwiih) bu bu mba bu bu bu bu mba

(Aaiyaah) bu bu mba bu bu mba

Ukikatika na hii ngoma, just be cool as a cucumber...

Aaaaah (hallo nameless uko freshy lakini)

Twende wewe yeye yeye wewe vice versa

Vile wataka sister, brother wacha

Kuzubaa uki slaki hautapata, fungua macho

Floor ni yako cheza wimbo kama ni wako

Cheza wimbo kama ni wako sababu huu wimbo ni wako

E-sir hatucheki na watu

Nameless hatucheki na watu

Ma m'c hatucheki na watu

Ogopa hatucheki na watu

Unahisi hizi floor za Africa (aha)

Can you feel this rock to the gear (aha)

Can you feel this up in here

(Chorus)

Natume kuja kuparty, ambia wenzetu samahani

Hawako nasi hatuko nao basi wametupa

Mbao sababu.Inabamba inashika

Fungu la tisa Inatufikisha tukiachilia mahewa

Maze dj weka together

(Chorus 1&2)

Ah.........ah.......ah....ah

Ukikatika na hii ngoma just be cool as a cucumber

Aaaaaa...........

See also:

123
123.19
側田 躍動的心 Lyrics
Tim Maia Meditação Lyrics