Miriam Makeba & Harry Belafonte Malaika Lyrics

Malaika, nakupenda Malaika.
Malaika, nakupenda Malaika.
Ningekuoa mali we,
Ningekuoa dada.
Nashindwa na mali sina we,
Ningekuoa Malaika.
Nashindwa na mali sina we,
Ningekuoa Malaika.

Pesa zasumbua roho yangu.
Pesa zasumbua roho yangu.
Nami nifanyeje, kijana mwenzio.
Nashindwa na mali sina we,
Ningekuoa Malaika.
Nashindwa na mali sina we,
Ningekuoa Malaika.

Kidege, hukuwaza kidege.
Kidege, hukuwaza kidege.
Ningekuoa mali we,
Ningekuoa dada.
Nashindwa na mali sina we,
Ningekuoa Malaika.
Nashindwa na mali sina we,
Ningekuoa Malaika.

Malaika, nakupenda Malaika.
Malaika, nakupenda Malaika.
Ningekuoa mali we,
Ningekuoa dada.
Nashindwa na mali sina we,
Ningekuoa Malaika.
Nashindwa na mali sina we,
Ningekuoa Malaika.

See also:

33
33.46
Public Enemy Terminator X To The Edge Of Pa Lyrics
EPMD It's My Thing Lyrics